
baridi - jay melody lyrics
hii kitu kutoka sio rahisi
hata kuzama pia sio rahisi
nahisi nimekolezana
kweli hivi sio kawaida maana wewe
unaachia mwanya umeniteka umenivaa
oooh……
ndoto zangu toka zamani kulata mtu
kama weeee nilale lale kifuani kichwani anitawale
ndoto zangu toka zamani nipate
mtu kama wew atae nipa burudani
hivi….
(oooh babe
hunnie
naskia baridi mimi) *4
………………………………… oye oyoyoyo
nahapa nilipo nipo kilelen
kama kilimanjaro napenda unavyonipa vitu laini
nachizika na ulipo nayo
me kuwa nawe naskia raha
kukupata naskia raha …..
siunajuw unavyo nikuna
usiniache nitakesha bar
aaaaaaaaaah
ndoto zangu toka zamani nipate mtu kama wew nilale lale kifuani kichwani anitawale ……
ndoto zangu toka zamani nipate mtu kama wew atae nipa burudani mmmmmh
hivi…..
ooh babe ……aaah
hunnie ….eeeh
naskia baridi mimi
( .oooooh babe
…………. hunnie
naskia baridi mimi )*2
uuuuh laah…….
Random Song Lyrics :
- laços (part. ana vilela) - nando reis lyrics
- kylo vs luke rap battle - divide music lyrics
- aurinko (vain elämää kausi 11) - herra ylppö lyrics
- hatred - akneatly lyrics
- spaz attack - fried by fluoride lyrics
- fire in my heart - scythian lyrics
- direction by me - wilywnka lyrics
- sincero - funkypein lyrics
- acid rain - dexter jordan lyrics
- stainless - tony tall lyrics