
nazama - jay melody lyrics
[intro]
mmmh once again
mmmh naitwa once again
onaah nananaaah
[verse 1]
mapenzi ya usiku
sio kama ya mchana
usiku kigiza flani
mchana tunaonana
halafu kipaji anhaa
amempa maulana
ananionesha michezo ambayo sijawahi ona
[pre chorus]
kwisha kabisa
mwenzenu ananimaliza
huu ufundi kapatia wapi
mbona anapitiliza
kwisha kabisa
jamani anamiujiza
penzi kalichomea ubani
utamu tu ananipa
[chorus]
mwenzenu nazama
mi sijui nifanyeje
sijui mimi
sijui nimekuaje
sijui mimi
nimekua kama bwegee
mwenzenu
naenjoy mwenyewe olaah
[verse 2]
hivi kwanini ukiitwa honey
unasikia raha mpaka ndani oh
hadi unatamani uiskie milele maishani
namaanisha sio utani
huu upendo umenipa amani
wengine wanafika mbali
eti mapenzi majani
[pre chorus]
kwisha kabisa
mwenzenu ananimaliza
huu ufundi kapatia wapi
mbona anapitiliza
kwisha kabisa
jamani anamiujiza
penzi kalichomea ubani
utamu tu ananipa
[chorus]
mwenzenu nazama
mi sijui nifanyeje
sijui mimi
sijui nimekuaje
sijui mimi
nimekua kama bwegee
mwenzenu
naenjoy mwenyewe olaah
Random Song Lyrics :
- white - madoor lyrics
- money - jay balln lyrics
- undertale yellow - tenth level lockdown with lyrics - man on the internet lyrics
- maybe there’s something beautiful to hold onto - empress insecta lyrics
- hediye - muhtemel lyrics
- manman dembow - lzaccio lyrics
- venus journey - 町本絵里 (eri machimoto) lyrics
- re-mine - 510 band lyrics
- dálmatas - hoke lyrics
- オンリー ロンリー グローリー(only lonely glory) - bump of chicken lyrics