
wa peke yangu - jay melody lyrics
[intro]
jini x66
ah, ah, ah
ah, ah
ah, ah, ah
jay once again
[verse 1]
vi macho na zake lips
k*mpata sio rahisi
yaani kweli mungu umenibariki
mimi umenibariki
na kabla ya hii gift
ukatufanya marafiki
mpaka sasa penzi liko lit
moto, kiukweli
[pre*chorus]
yaani kama nimeokota dodo
chini ya mpera, nimeokota dodo
na siambiliki, hata kidogo
mwenzenu mimi, nimeokota dodo
[chorus]
wa pekee yangu
huyu
wa pekee yangu
huyu
wa pekee yangu
wa pekee yangu
jamani, wa pekee yangu
huyu
wa pekee yangu
huyu
wa pekee yangu
wa pekee yangu
[verse 2]
mapenzi gani haya anayonipa? (anayonipa)
mpaka damu nasikia inavyo pita
kwenye moyo pia kwenye mishipa
(mishipa)
au tuseme ndio kashanishika
[pre*chorus]
yaani kama nimeokota dodo
chini ya mpera, nimeokota dodo
na siambiliki, hata kidogo
mwenzenu mimi, nimeokota dodo
[chorus]
wa pekee yangu
huyu
wa pekee yangu
huyu
wa pekee yangu
wa pekee yangu
jamani, wa pekee yangu
huyu
wa pekee yangu
huyu
wa pekee yangu
wa pekee yangu
[bridge]
darling, yupo moyoni
nnavyo muota, usingizini
jamani, darling yupo moyoni
nnavyo muota, usingizini
[post*chorus]
wa pekee yangu
huyu
wa pekee yangu
huyu
wa pekee yangu
(oh, na*na*na*na)
wa pekee yangu
jamani, wa pekee yangu (pekee)
huyu
wa pekee yangu (mimi hapa)
huyu
wa pekee yangu
wa pekee yangu
[outro]
i love you babe
music
Random Song Lyrics :
- martin scorsese - nessuno lyrics
- all that's left is the sex - elle vee lyrics
- chivalry - freddie jackson lyrics
- japan volcano rap - abroad in japan lyrics
- the green screen song - ben visini lyrics
- tragando a indiferença - murillo augustus lyrics
- the last thing on my mind (1990) - peter, paul and mary lyrics
- sentado na festa - mc zeca lyrics
- kuingin kau - decaltian lyrics
- hola, lola* - tes x lyrics