
ni yesu - jessica honore lyrics
Loading...
alie ianzisha kazi ndani yangu, ndie atakae timiliza aaa!
hatoacha hata mguu w-ngu usogezwee!,
maana -n-lilinda kusudi lake
hata ndugu wakiniacha yeye yupo nami
marafiki wakinitenga yesu yupo nami (×2)
kama uko kinyume nami
jua uko kinyume naye,
maana sikujiita mi,
alie jiita ni yeye
tumaini langu, yesu
uzima w-ngu, yesu
ushindi w-ngu, yesu, yesu, yesu
haijalishi ni mda gani umezunguka
jangwani ni pakavu, pana ukame
ahadi ya mungu kwako itatimia
usipokata tamaa, moyo kuzimia
wanasimba hutundikiwa wakuona njaa, bali watoto wa mungu hawatundikwi
Random Song Lyrics :
- rain from the eyes - mikel (deu) lyrics
- hero - seedy lyrics
- tomorrow - depedro lyrics
- where ya goin' - i the fire lyrics
- nađi me - arot lyrics
- hang on sloopy - the boppers lyrics
- brush your teeth - mediumjay lyrics
- two & a half blunts - broken classic lyrics
- time's blue - lil b lyrics
- computer - munju lyrics