
tantarira - jovi'al lyrics
excuse me
nimepata kampenzi
ananipa raha nyingi
na kunienzi
excuse me
nimepata kampenzi
ananipa raha nyingi
na kunienzi
jamani wee, unanijulia
kila nitakacho mimi wanipatia
jamani wee, unanijulia
kila nitakacho mimi wanipatia
hujachelewa chelewa, mimi ni wako
umenogewa sitoki kwako
hujachelewa chelewa, mimi ni wako
umenogewa sitoki kwako
umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
hapendi nikiwa na stress
anapenda nikitabasamu
anipa mapenzi moto moto
hapendi nikiwa na stress
anapenda nikitabasamu
anipa mapenzi moto moto
anajua kunipa ham
mwishowe matam tam
hajafeli ni wa ukweli
napata daily
yeyе kw*ngu ni daktari
tiba yake nakubali
hajafeli ni wa ukweli
napata daily
jamani wee, unanijulia
kila nitakacho mimi wanipatia
jamani wee, unanijulia
kila nitakacho mimi wanipatia
nimеshiba sina njaa
kila siku raha
kwake si karaha
ananipenda kila saa
sitomnyanyanya paa
popote tutapaa
hujachelewa chelewa, mimi ni wako
umenogewa sitoki kwako
hujachelewa chelewa, mimi ni wako
umenogewa sitoki kwako
umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
umenifanya niwe, tantarira aah, rira aah
umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
umenifanya wee, mimi nipagawe, tantarira aah
Random Song Lyrics :
- mouvement - karl alekhine lyrics
- kakhuri - trio mandili lyrics
- find my way back home - anson lyrics
- willing to beg - jessica sutta lyrics
- der erste kuss - jailbabes lyrics
- lost - ygx veli lyrics
- blue check cashapp - ronnie eriic lyrics
- le trouvère de verdi - katerine lyrics
- diving line - stray fossa lyrics
- cuộc đời còn bao nhiêu điều mình sẽ mãi chưa làm? - cá hồi hoang lyrics