
unanikosha - jovi'al lyrics
baby zima taa tunapoianza hii sakata
hapo hapo swadakta, nadata na huba lako
tumba prakata rhumba chakacha, ai mbambata
wanichezesha na kwaito
baby nipe tena, tena
niwe chachu ya birimbi
unanibembeleza
mwakipesi na sheringe
niite niite hata ki*utani
jaguar mwenyewe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka deka
niite niite hata ki*utani
jaguar mwenyewe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka deka
unanikosha roho, unanikosha roho
unanikosha roho, unanikosha roho
najijua najijua
nikipenda wivu unanisumbua
tena unanishanigundua
mi kwako najishebedua
yaani mambo kwako sambamba
nikiwa nawe niko salama
kitandani mechi kandanda
tunacheza kandanda
niite niite hata ki*utani
jaguar mwenyewe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka dеka
niite niite hata ki*utani
jaguar mwenyеwe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka deka
unanikosha roho, unanikosha roho
unanikosha roho, unanikosha roho
Random Song Lyrics :
- in your bumps - gold medalists lyrics
- blrrrd - не придумал (ne pridumal) lyrics
- sneg u avgustu - maleni lyrics
- es lamentable pero no [mar 2, 2022 at 8:24 am] - paula prieto lyrics
- бойцовский клуб (fight club) - dessar lyrics
- el tumbao de los cocodrilos - çantamarta lyrics
- 愛上你是我眼睛的錯 (fault of my eyes to love you) - 陳奕迅 (eason chan) lyrics
- piss on (remastered) - david0mario lyrics
- lack of iron - amélie farren lyrics
- goals - osaka88 lyrics