
ha he - just a band lyrics
[intro]
microphone check one, one two
[verse 1]
ukiwasha nare mathare ‘taonja vibare
mi si mnati, si babi, niko tu katikati
staki kuskiza story za charity, charity
nipe wings ni-defy-fy gravity, gravity
sema oh
[hook]
juu tuko works mzeiya
evacuate the area
juu tuko works mzeiya
[verse 2]
serikali haijali
so naona mbwa kali afadhali
dame amejam juu dough haikam
na siwezi k-m-show ati life ni exam juu
ntatupiwa sufuria
na hizo ni aibu ndogo ndogo mi sipendi
so nikikupita tao, tao
jua sio madharau-rau
[hook]
juu tuko works mzeiya
evacuate the area
juu tuko works mzeiya
[verse 3]
nipe, nipe nafasi
nikueleze kiasi
vile sisi hufanya
pande hii ya the tracks
hatuchezi na kazi
usipoteze wakati
tumekunja mashati
[hook] x5
juu tuko works mzeiya
evacuate the area
juu tuko works mzeiya
Random Song Lyrics :
- lover's rap - leon haywood lyrics
- 10 bands - isaiahguap lyrics
- confused - jaafar jackson lyrics
- bape - ildvr x snkn lyrics
- leave it in the sun - jeff rosenstock lyrics
- black babies - the vitamen lyrics
- straight and narrow - tom fogerty lyrics
- eu cansei (part. wagner luther) - winicius brilhante lyrics
- fuckshit - marinoisdead lyrics
- tera ghata song lyrics - shyamal bodosa lyrics