
nisiulizwe - jux. lyrics
[intro]
yo, yo, you’re so fine
baby (hey!)
i do this for you, oh no
mmmh
(s2kizzy, baby)
[verse 1]
nahisi niko kwenye njozi
huba imenikolea, kuamka sitamani (kuamka sitamani)
yeah
tena na kusihi ulilinde penzi
mwenzako nimenogewa, hoi taabani (hoi taabani)
[chorus]
na hata nikiumwa we’ ndio unanitibu
w*ngu daktari, kukupenda ni wajibu
nisiulizwe maswali
baby, nipe taratibu
huo utamu wa asali
kukupenda ni wajibu
nisiulizwe, no, no
[post*chorus]
kwako nitang’ang’ana (ntang’ang’ana nawe, mmm)
kwako nitang’ang’ana (ntang’ang’ana nawe)
ah, kwako nitang’ang’ana tu (ntang’ang’ana nawe)
eh, eh*eh
kwako nitang’ang’ana (ntang’ang’ana nawe)
yeah, yeah
sababu i love you
yeah, yeah
i love you
mmm, yeah
[verse 2]
naanzaje kuku*cheat nakifata kipi?
hakuna jipya duniani nishafanya utafiti
tena umewaacha [mbal*e], ulipo we ‘hawafiki
maombi yangu toka kale, nimepata rafiki
mmm
[hook]
na hata nikiumwa we’ ndio unanitibu
w*ngu daktari, kukupenda ni wajibu
nisiulizwe maswali (yeah, yeah)
baby, nipe taratibu
huo utamu wa asali
kukupenda ni wajibu
nisiulizwe, no, no
[outro]
kwako nitang’ang’ana (ntang’ang’ana nawe, mmm, yeah)
kwako nitang’ang’ana (ntang’ang’ana nawewe, hey)
kwako nitang’ang’ana tu (ntang’ang’ana nawe)
eh, eh*eh
kwako nitang’ang’ana (ntang’ang’ana nawe)
yeah, yeah
sababu i love you
yeah, yeah
i love you
Random Song Lyrics :
- attitude cypher vol. 1 - punch arogunz lyrics
- going - masewonder lyrics
- el peor - chyno miranda & j balvin lyrics
- lonely - rene ann wong lyrics
- jump the gun (audiotree live version) - hockey dad lyrics
- walking on broadway - mark kano lyrics
- levels - sev lyrics
- tornassi indietro - brain & lord madness lyrics
- grow up - trapo lyrics
- i've got to find myself a brand new baby - david ruffin lyrics