
unaniweza - jux. lyrics
abbah
[verse 1: jux]
pindi ukicheka we, mi moyo unanitabasamu
huwa mwenye kujihisi mororo
ila ukilia wee, hata kula nakosa hamu
huwa mwenye kujihisi mdororo
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
[verse 2: jux]
sitamani mwingine, wala sidhani ka ataweza kutokea
maana mambo yako moto moto, moto
labda upite ushetani mwingine, maneno ya watu nishazoea i don’t care
kila kukicha choko choko, choko
unavyonipa raha, ndiyo nanepa mie
penzi lako natinga, navimba nabembea
kinachokufaaa, usisite niambie
kwako niko radhi hata zege nibebe, machinga nidadishee
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweeeza
abbah
Random Song Lyrics :
- nascence - lightt lyrics
- raw medicine intro - madlib lyrics
- privilégio - mc luan da bs, mc vitin do lj, mc marley & dj 2w lyrics
- las 3 jotas - juno "the hitmaker" lyrics
- out of lane - collinz music lyrics
- vou ficar maluco - heldom nhanhado lyrics
- fragments - og l'enf lyrics
- я бы убежал (i would run away) - renie x sedrix lyrics
- shortcut - doublecamp lyrics
- put god on the phone - tetramose lyrics