
wivu - jux lyrics
eiyeh,
niamini leo hii, sitamani mwingine tena,
kazi zangu mishemishe,
nitarudi nyumbani mapema,
unachonipa baby, sitokaa nikuumize,
na zile raha unazonipa, wewe,
napenda unavyokata, na kunipa taratibu,
mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu,
nikikushika unanitazama unaona aibu,
we tabibu, unanipa raha,
napenda unavyokata, na kunipa taratibu,
mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu,
nikikushika unanitazama unaona aibu,
we tabibu, ila -ilaa
husije fanya visa mina wivu,
na moyo utaniumiza mina wivu,
na hofu watakuteka mina wivu,
sitaki nile mbichi wao mbivu x2
naandika ngoma ya mapenzi nakuona wewe,
na vinanda vya bob vya bembeleza,
nish-goma kwingine, kwako nipewe,
umeniteka mazima nimelegeza,
and everything i do for you,
is from my heart as you know,
na kila siku mimi napambana we ubagamee,
ah ah ah aah, x4
husije fanya visa mina wivu,
na moyo utaniumiza mina wivu,
na hofu watakuteka mina wivu,
sitaki nile mbichi wao mbivu x2
Random Song Lyrics :
- sunday chillin' - ferlo narco lyrics
- dreamer - coldxann lyrics
- queen of hearts - 48may lyrics
- pure desire - kawala lyrics
- mad people - blac youngsta lyrics
- bmw - dycha & masno lyrics
- moth meme - whose rules lyrics
- i got a bag - soulja boy lyrics
- 이음 (link) - samuel seo lyrics
- lost mind - peter collins (singer) lyrics