
ndoto ya mchana - k son rap lyrics
[intro]
yeah ksonrap
this one right here is for the people
yeah, let’s go
[verse]
ajira hakuna tunasuk*ma mikokoteni../wanasiasa baada ya kampeni wameingia tu mitini../bila hata kandili wametuacha tu gizani../kila kitu wametupiga pini wanasingizia vita vya ukreini/vitu vinapanda bei madukani..nachokisema nikweli wala sio utani../mfanya biashara wan*z*funga tu mizani../shekhe msikitini anakosa hela yakununua hata ubani../hakuna anaetoa sadaka kanisani hatuna hata mbuni../hakuna madawati watoto wanakaa chini mashuleni../sare zao zimetoboka matakoni../wabunge wao wanasinzia tu bungeni..wametuacha kwenye mataa hali duni../wanaishi zao tu mijini tuvyoishi ni kama mateka tu vitani../hakuna madawa hospitalini majisafi hayatoki mabombani../wanapitisha tu kokeni mateja wan*z*di tu kujaa uswahilini../hadi lini? magendo yanapita tu bandarini../hatupo hata makini wanasafirisha makinikia watuambia sio madini../nyie kopeni siegii anatuambia yanaongezeka tu madeni../watetezi wote wapojela wanakesi za uhaini../waliponea chupuchupu walikimbilia uhamishoni../
Random Song Lyrics :
- narcos business - southpuff lyrics
- papi - molengi show lyrics
- a song bout songs - fromdeadj lyrics
- raid - space cadets lyrics
- we gone make it - k-luxuriant lyrics
- keep strugglin' - nino jay lyrics
- budlights and bedtimes - dart trees lyrics
- diamonds - avid beats lyrics
- 謊言 (lies) - 陳奕迅 (eason chan) lyrics
- look at the score - rick turner aka bigraprichy lyrics