
noma - k son rap lyrics
Loading...
noma juu ya noma..ngoma juu ya ngoma..yani turu juu ya ngeu..kichapo cha mp ambae ni noma..michano ya mcee ambae ni noma..naleta noma..singasinga chundabad maradona..kino mpaka ukonga..sekunde tu na change ka kinyonga..naleta noma..singida na dodoma..marapa wanaopenda vyakitonga..uskia para panda ujue ni noma..ukileta propaganda kama ngosha..noma..nipo kwenye beat na ma monster..
watu wa bad ile kinoma..ukuzingua wakufinya kama roma..nyasi tunachoma..police wakivamia kulakona wakushika juwa ni noma..usiende peku peku kuna ngoma..noma..vina na mizani na vishona ile kinoma..mamluki wanakoma..transforma nalipuka ile kinoma
Random Song Lyrics :
- make it with you - the supremes lyrics
- plays all week - saucalini lyrics
- bahar - mostafa rad lyrics
- gravity - corvyx lyrics
- kodak - king & seedhe maut lyrics
- angels feast on flies - the afterbirth lyrics
- out of the maze - roskamala lyrics
- лихолесье (mirkwood) - saluki lyrics
- спб (spb) - 5mewmet lyrics
- set your spirit free - sault lyrics