
nakungojea - kapaso bkp lyrics
shii beberu
majibu ya maumivu machonii
kichoponyaa ni imani sio dozi
sij*pona maradhii moyo w*ngu una magongoo
kupenda tena siwezi yananitesa mapenzii
sij*pona maradhii moyo w*ngu una magongoo
iko wazi hakuna kilichojificha
watu wanajua kama tumeachana
iko wazi hakuna kilichojificha
watu wanajua kama tumeachana
kama ikitokea umenimis nipo nakungojea sijakusahauu
ikitokea umenimis nipo nakungojea sijakusahauu
niliigwa na butwaa kama ulijiandaa yayaaa
kama kosa yayaaa ungesema nilipokesaaa
mi sina manufaa kwa wale waliokufaa
umechoma mkeka kwa tamaa za sofaa
mimi ni kati ya wanaume waliojinyima furaha
ili faimlia zao ziishi kwa furaha
mi ni kati waliojinyima kupendeza ili baby apendee
akapendwa na wengineee
iko wazi hakuna kilichojificha
watu wanajua kama tumeachana
iko wazi hakuna kilichojificha
watu wanajua kama tumeachana
kama ikitokea umenimis nipo nakungojea sijakusahauu
ikitokea umenimis nipo nakungojea sijakusahauu
ikitokea umenimis nipo nakungojea sijakusahauu
nipo nakungojeaa
nipo nakungojeaa
nipo nakungojeaa mamaa
nipo nakungojeaa
shii beberuuu
kapaso hapa g*nius from tanzania
Random Song Lyrics :
- p i c k i t u p - jeff rosenstock lyrics
- flight - neek bucks lyrics
- when things get electric - kerry livgren lyrics
- xoxo - charlotte cardin lyrics
- through the flames (live from the apocalypse) - lacuna coil lyrics
- silence - yb (kor) lyrics
- тильт (tilt) - tripledouble (rus) lyrics
- サナトリウム (sanatoriumu) - 森田童子 (doji morita) lyrics
- perfect example - wacotron lyrics
- no gun bars - genecist lyrics