lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

hatuuzagi - kingsmainamssteve lyrics

Loading...

uko nje nimeskia wakisema ati hatuuzagi eeh hata hatuuzagi hii tunauza ni wewe nawauliza tena hii tunauza ni wewe hii dio barua yangu na iwafikie wao

nikianika nguo zangu hapa chini cianiki jua dio zikauke naanikia customer zangu wapeda kazi yangu amenunua longi amenunua viatu wamenunua kofia vinyasa nimefugua duka amenunua chovi mafuta uga ya gano wamenunua masoda namwamini mungu nisipouza leo kesho ni siku kesha ukiniroga mimi na kesha na mungu w*ngu anibaliki zaidi unatamani nizikwe nikiwa uhai hiyo ni ndoto ya mchana my friend mkiniona na baiki ama kaduthi kangu nikiuza bithaa zangu heshimu kazi yangu ni kama ile ingine mimi nimejiajiri wewe umeajiriwa nani ako mbele pamoja

uko nje nimeskia wakisema ati hatuuzagi eeh hata hatuuzagi hii tunauza ni wewe nawauliza tena hii tunauza ni wewе hii dio barua yangu na iwafikie wao eeh
uko nje nimeskia wakisеma ati hatuuzagi eeh hatuuzagi hii tunauza ni wewe

mimi na bidii zangu za kila siku naigia sokoni natadaza nyanya ngunia napaga nyanya zangu suk*ma zangu kitugu matunda aina balibali avocado cabbage jua imewaka woiye vitu zangu zitahalibika mungu ni nani wamezinunua vitu zangu zote hiyo ni kidole siku yangu lmejaa customer wengine ni wazuri

uko nje nimeskia wakisema ati hatuuzagi eeh hata hatuuzagi hii tunauza ni wewe nawauliza tena hii tunauza ni wewe hii dio barua yangu na iwafikie wao
uko nje nimeskia wakisema ati hatuuzagi eeh hata hatuuzagi hii tunauza ni wewe hii dio barua yangu na iwafikie wao

mvumilivu hula mbivu siku zote ndugu dada majirani zangu mwamini mungu sio binadamu eeh

Random Song Lyrics :

Popular

Loading...