mtaani kwangu - ksonrap lyrics
yeah!..
ksonrap!
you know what i mean
naskika toka swazi sogodo ndani ndani;
mchakamchaka machata na machizi waliopinda; mangeu manyang’au misokoto ya majani;
babu na wajukuu wote wanaghani;
panyarodi kila chocho kila siku mahakamani;
chafu tatu mwisho wasiku huna kitu mf*koni;
bado tuna komaa tu na fani..tupo chimbo kama apolo mererani;
nyapara gerezani makachero wanatusachi hawatukuti hata na jero;
wengine walisepa stoloway wakatoswa na mgiriki baharini;
harakati magilini vituko uswahilini kichapo cha ugoni;
hakuna wakukudhamini mapoti wakiwakutia tu mbaroni;
nahii ni last warning next wanakulenga kwenye utosi;
mikosi tunafusi mimoshi maskani za wakushi;
hatuna habari kama vile tupo bush;
life la huku lina tia tu hasira;
kuokota makopo imekuwa ni ajira hatuna dira;
Random Song Lyrics :
- femboy christ - javid ali lyrics
- felt good about you - gracie abrams lyrics
- guessing - s6lty lyrics
- another, another, another - the mysterines lyrics
- a distancia - wisin & de la ghetto lyrics
- thats fine i guess - kmoe lyrics
- 내가 태양이라면 (keep on) - tws (투어스) lyrics
- esta noche ya ya ya ya - marcella bella lyrics
- alles perfekt - paul gerlinger lyrics
- rock bottom (demo) - modern baseball lyrics