napotokea - ksonrap lyrics
Loading...
napotokea nikisanga nilipo panga;
kipohuku kilichomtoa manyoya kanga;
mbele kwa mbele wananchi wanaisoma namba;
vyuma vimekaza tumekonda;
hakuna wakusubiri majibu angaza;
utakacho kiona hutakiwi kutangaza we nyamaza;
sekunde tu wanakinukisha kama hamza;
miujiza zaid ata ya mwamposa bulldozer;
wazee wakupuliza chumaulete kwenye mtaji wakaranga;
mpak vibabu vinavuta kushabu tu maganja, mirungi vina chanja;
kabla huj*pigwa ndumba wahi wewe kwa waganga;
hatulali kwa raha juu ya bati sauti tu za paka;
kila mtu anakunja huku hakuna atakae kupa dili za mkwanja;
utagonga mwamba full ngwamba huku huwezi tamba;
alie iga kunya kwa tembo huku alichanika msamba..
Random Song Lyrics :
- big talk - redlands lyrics
- shoulders - niclas lundin lyrics
- road trip - 효민 lyrics
- one - automatic shoes lyrics
- vai começar a ousadia - mc gui lyrics
- sepi sekuntum mawar merah - ella feat. peter lyrics
- ขอเวลาลืม - aun feeble hart feat. ouiai lyrics
- gak jaman - julia perez lyrics
- garrapatas - apocrypha lyrics
- venus - sarshi lyrics