
nitachana - ksonrap lyrics
[intro: ksonrap]
yeah!yeah
word up son!
“word is born”
ksonrap
aahh (skia)
[verse 1: ksonrap]
nitachana mpaka uzee kama sugu;
wakiloga nitachana kwa ishara kama bubu;
sitoacha nitachana kama rado kwenye kutu;
kama stopa nitachana style zaidi ya tatu;
nini tuzo nitachana kama nash msinipe ata buku;
piga kiki piga snare mandavaku nitachana bila guitar bila dufu;
nitachana kwenye nguzo na misingi bila promo za mabantu;
gangsterr nitachana kama guru nitachana kiukombozi fikra ziwe huru;
mkinipa mic nitachana mpaka ikulu miaka tele nitachana kama salu;
nitachana kama sloter wa majitu; lwp majitu
mtoto wakiume nitachana kama geez mabovu;
nitachana kama wembe wabaki na makovu;
kitaani most wanted nitachana kama d kn*b nitachana kama d rob;
nitachana kino nitaibeba mabegani kama nyandu nikiondoka mnik*mbuke kama dandu;
nitachana kama lufu kwahizi tungo heavy kama lindu;
hakuna chakuogapa chini ya mbingu sitochana kuhusu chuki wala wivu;
nitachana kiafrika kwa baraka za machifu masharifu;
mawalii manabii watukufu turudi kwenye tamaduni zetu;
sasa ndo nachana deep kama mansulii kina kirefu;
“sinza star”
rest in power mac2b:
[verse 2: ksonrap]
nitachana kama s.
Random Song Lyrics :
- japan - hassel g. lyrics
- runnin' - rose gold (songwriter) lyrics
- ob west oder ost - king khalil lyrics
- molevolence - familyjules feat. ahren gray lyrics
- ana lama - cocorosie lyrics
- johny jolly rancher - chetta lyrics
- sola (feat. lando) [prod. by kvrbe] - jet trawick lyrics
- like no other - ceeingee lyrics
- don't hassle me - faine jade lyrics
- bigger than me - big sean lyrics