
ulijua - ksonrap lyrics
word up!
yeah!yeah..
ksonrap!
you know what i’m sayin?
ulijua utabaki kwenye chart tu milele;
ulijua hakuna wengine zaidi yako wewe;
ukawa unakula vifaranga kama mwewe;
wewe ndo wewe kwenye vioo ukatupa sana mawe;
ulijua utabaki kileleni ka pierre konkfire;
ukajiona king kong ukataka kutawala kila kingdom;
ukawa mtu wa vinyongo na visasi wapinzani ukapiga marisasi;
ulijua wenzako wakifa utabaki;
udhulumu mirabaha ukataka kuharibu hii sanaa;
ulimuacha ukijua ni mgumba hatozaa
ulijua atakonda atachakaa;
ukaloga ituandame mikosi mabalaa;
ulikuwa mbinafsi ka mubutu ukaijenga bandolite;
ukavamia na mitutu ka bash*te;
ukamtisha mpaka nape
ukatumia sana ubabe ukapiga sana dili za mazabe;
huk*mskiliza dada mange
chid alikwambia ukasema mvuta bange;
haukujua mwisho wa moto ni majivu
ubaya mwisho wake ni aibu;
ka sabaya leo yamekusibu;
what goes around..comes around;
ulijiamini kama idd amini ukataka kuiteka na kagera;
wapinzani uliwatupa sana jеla;
kwenye game ukataka mkubwa kama fеlla;
huwezi kuwa juu..juu (juu juu)
forever (forever)
huwezi kuwa juu juu
Random Song Lyrics :
- better tomorrow - death by daylight lyrics
- oki - ander g lyrics
- red ferrari - ru$h & tha god fahim lyrics
- blam, blam - stanojka mitrović ćana lyrics
- rusty - loto (fra) lyrics
- leave of mind - tuesday (-tylerfff. & fadeddavid) lyrics
- push pull - offaiah lyrics
- profound - zvle lyrics
- gucci za po kucci - sochny lyrics
- pardon me - live at the town and country club, london, 1986 - the bolshoi lyrics