umekonda - kusah lyrics
[intro]
yammi
na kusah tena
[verse 1 : kusah]
ye hajui hanishughulishi
nimeshamsahau kitambo ni matapishi
na angejua me hanitishi
huku nishapata chimbo na tunaishi
oya nyie yangenizika mapenzi
ningechelewa lingeniua lile lishenzi
[chorus : kusah & nandy]
sijui mapenzi au ndio diet
maana ukibonge nanenepa na sijui
sijui mapenzi au ndio diet
maana umekonda au unaumwa na hatujui
[verse 2 : yammi]
mekuwaza kurudiana nawe huko nishavukaga
maana wote na mpenzi w*ngu hiyo habari hakunaga
nilipo nalishwa vizuri vi piza piza baga
ungeniva na kwashakoo kunilisha madagaa
kwanza sijui nakvonaje
nahisi huruma yangu ndio iloniponza
hata kuwa na wewe najiona bwege
maana tumeachana hakuna nilichopunguza
[chorus : kusah & nandy]
sijui mapenzi au ndio diet
maana ukibonge nanenepa na sijui
sijui mapenzi au ndio diet
maana umekonda au unaumwa na hatujui
Random Song Lyrics :
- crazy* - 1mill lyrics
- mi pa'i se fue - great kilo lyrics
- avalanche (album ver.) - uverworld lyrics
- bing bing (remix mastering version) - crayon pop lyrics
- плохая (bad) [ликвид remix] - dfysaga lyrics
- pamiętnik - szychvl lyrics
- bubbles in my beer - jenero dirty redd dredd lyrics
- get educated (don't be stupid) - mc csm 08 lyrics
- reckless remains - kingston xv lyrics
- coca cola shape - sasha lyrics