
tumshukuru kwa yote - lameck ditto lyrics
sote
tumshukuru kwa yote
aaaaaaah
aaaaaaaah aaaah
kwa pamoja tutazame hapa tulipo
pana tuonyesha picha ya mbali huko tuendako mpenzi
mengi utasikia yakisemwa usiyaweke moyoni kuteleza inatokea mambo ya ndani usiyaweke hadharani
kama ndege juu turuke angani wote
unishike nikushike ili tuwe wote mpenzi
mvua ikinyesha iwe baraka ya penzi letu lolote likitokea basi tuanguke na tufe wote
wengine amani tuliyoonayo kidogo wanaiota hawana tena pengine pesa si tatizo vipigo kati yao upendo hakuna
heri yetu sisi
tushukuru kwa yote(tushukuru kwa yote)
tushukuru kwa yote kipenzi changu
tushukuru kwa yote
asiyenipenda hakupendi hata siku moja
siku tunaacha ndo wanach-m-za
asiyenipenda hakupendi hata siku moja
siku tunaachana ndo wanach-m-za
juzi nilikosea nikakukuta unalia machozi nikipokuomba radhi ukaelewa samahani ikaokoa penzi
wengine amani tuliyoonayo kidogo wanaiota hawana tena pengine pesa si tatizo vipigo kati yao upendo hakuna
heri yetu sisi
tushukuru kwa yote(tushukuru kwa yote)
tushukuru kwa yote kipenzi changu
tushukuru kwa yote
Random Song Lyrics :
- чувства - плага lyrics
- many things remix - superwozzy lyrics
- half nine - flofilz lyrics
- face off - grandace lyrics
- lifetime of trying - kastro lyrics
- manda-nos teu poder - congregação cristã no brasil lyrics
- lie lie lie (remix) - mico lyrics
- ;c - kxly06 lyrics
- sourire aux lèvres - specy men lyrics
- бананы - №2love lyrics