
natamani nikuone - laura karwirwa lyrics
Loading...
eeeeh lala.lala.lala
uuu baba…
mmmhh… (still alive)
mengi nimeshasikia, uliyoyatenda mengi hata nami pia, naweza shuhudia,
katika siku zangu za giza (wewe umenituliza)
nimepenya kwenye giza (umenimulikia njia)
nikusujudie, nikuinamie, niseme nawe,
niushike mkono wako ewe oh, nitembee nawe
natamani nikuone heeey, ndio tamaa ya moyo w-ngu, na nafsi yangu
(umekuwa mwema)
nitakuwa nimetayarisha sadaka nikupe, na sauti
nimenyorosha na malaika niimbe, sadaka za sifaaa he he,
naomba pokeaaaaa, sauti napaza napazaaaaaaa, naomba
sikiaaaaa
natambua mimi dhaifu, kama musa navua viatu vyangu,
nikaribie utakatifu wakoooo, nimeoshwa na hiyo damu
(umekuwa mwema8)
Random Song Lyrics :
- just give me a minute (nightcore remix) - jordy (us) lyrics
- джокер (joker) - nxce lyrics
- lost it - city of ships lyrics
- blinding lights (major lazer remix) - the weeknd & major lazer lyrics
- already a deadman (feat. billy dean) - jason pritchett lyrics
- vitef - richi lyrics
- sadboys - could ever lyrics
- beauty - the rejects of the machine lyrics
- "all we need" in 5 languages - angelina alexon lyrics
- holy - dresage lyrics