
baki na mimi - leteipa the king lyrics
verse 1
ni vampk 254. mhhhhh
kukutazama, ukitabasamu
nikama kuwatch movie za afro, siwezi boeka
we ndo kitabu, mi ndo kalamu
niliumbwa kwa ajili yako, kama masai na rubeka
ninatamani ningewa yako mavazi
nikusitiri nikuguse kila wakati
ungewa stew ama kasupu ka mbaazi
ningewa sembe mokimo ama chapati
hook
baki na mimi kipenzi, nikushughulikie
kila asubihi, nirauke, ili nikupikie
nikuogeshe, nikuvishe, mpaka uvutie
kamba za viatu babe, mi nikufungie
chorus
(baki namimi) ntangangana nikuwe chochote unachotamani
(ooh baki namimi) nitakonda utavimba , utakopa ntalipa mama
(baki na mimi) naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
(ooh baki na mimi) ukisota ntaiba , utapona nna tiba mamaa
verse 2
nakama ungewa, mwanasiasa,ninge piga kampeni zako
nikusifie, kwa giza na mw*ngaza, mpaka kwa maadui zako
nitakubusu bila woga hadharani
ili wajue wewe ndo w*ngu mwandani
ungewa kijiko lazma ningewa sahani
kututenganisha hilo haliwezekani
hook
baki na mimi kipenzi, nikushughulikie
kila asubihi, nirauke, ili nikupikie
nikuogeshe, nikuvishe, mpaka uvutie
na ukichoka,nikubebe, wivu wasikie
chorus
(baki namimi) ntangangana nikuwe chochote unachotamani
(ooh baki namimi) nitakonda utavimba , utakopa ntalipa mama
(baki na mimi) naapa kukutunza kuliko wako wa zamani
(ooh baki na mimi) ukisota ntaiba , utapona nna tiba mamaa
Random Song Lyrics :
- choppa got solo - sixth 6rade lyrics
- it’s all over now, baby blue - monalisa twins lyrics
- descant deific psalms - fall of the idols lyrics
- 7000 miles - ruby ibarra lyrics
- dance with somebody - musiqq lyrics
- valkyrie - bloodred hourglass lyrics
- artifices - for the hackers lyrics
- audi - mikro lyrics
- hai la unchiu' - nosfe lyrics
- by the blessing of death - dawn of winter lyrics