lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

cocoa butter - lilmaina lyrics

Loading...

[intro: lilmaina]
huh huh, stunna, stunna uh
skia skia uh

[chorus: lilmaina}
na niko ndani ya bukla
nikimedi na mashasha
jaribu ujinga ni mabare utapata
viatu tumepiga ni maclarks za kwa bata
warembo wote wananukia cocoa b*tter

basi rusha mikono ka unaona uko tipsy
rusha mikono kama maisha iko fiti
rusha mikono kuja basi twende hivi
sijalala siku tano naona kama nitachizi

[verse 1: danski]
ata nikikosa leo nitakupata
kama kuna ngori itakua disaster
siku mingi jo baby nimekudata
wacha kusita sita baby kam hapa
kama unanifeel (feel)
wachana na mi (mi)
i’m honestly just a humble rapper
ye hukuwa anatii, maina ni nabii
niliwashow hii ngoma itaw*ngwata
[chorus: lilmaina]
na niko ndani ya bukla
nikimedi na mashasha
jaribu ujinga ni mabare utapata
viatu tumepiga ni maclarks za kwa bata
warembo wote wananukia cocoa b*tter

basi rusha mikono ka unaona uko tipsy
rusha mikono kama maisha iko fiti
rusha mikono kuja basi twende hivi
sijalala siku tano naona kama nitachizi

[verse 2: lilmaina]
excuse me i mean empress samahami
we ni safaricom juu ya venye haupatikani
na macho yako nzuri unafanya natamani
rafiki zangu wanashindwa rada gani
nipate currency zingine villa rosa
na kila napo*enda utafuatwa na masoja
kichwa inauma basi meza sona moja
na venye unanitesa akili bado nitangoja

[bridge: danski]
nimefunga dready manze hunitaki
na kama ni makosa basi we utanishtaki
ningetaka twende shanzu au diani
na unataka lightskin kwani mi ni mlami?
[chorus: lilmaina]
na niko ndani ya bukla
nikimedi na mashasha
jaribu ujinga ni mabare utapata
viatu tumepiga ni maclarks za kwa bata
warembo wote wananukia cocoa b*tter

basi rusha mikono ka unaona uko tipsy
rusha mikono kama maisha iko fiti
rusha mikono kuja basi twende hivi
sijalala siku tano naona kama nitachizi

[outro: lilmaina]
yeah, da da danski
maina uh, stunna uh
stunna uh
patikani, rada gani
cocoa b*tter

Random Song Lyrics :

Popular

Loading...