
sema nami - mamajusi choir moshi lyrics
nimeahidi yesu kukufuata wewe,
milele bwana w-ngu, rafiki na mwalimu
nimeahidi yesu kukufuata wewe
milele bwana w-ngu, rafiki na mwalimu
vitani siogopi, karibu vita
njiani sipotei ukinitangulia
2 (solo):
nimejitoa kwako kukutumikia
siku za maisha yangu niwe nawe
nimejitoa kwako kukutumikia
siku za maisha yangu niwe nawe
sema nami baba, sema nami
sema nami baba, sema nami
niko tayari mimi kukutumikia
niko tayari mimi kukutumikia
sema nami nisikie, sauti ya upole
sema nami nisikie, sauti ya upole bwana
itulizayo moyo mkuu uliotaabika
nitie moyo mkuu uliobondeka
sema nami baba, sema nami bwana w-ngu
niko tayari sema nami mimi kukutumikia
sema nami baba, sema nami bwana w-ngu
niko tayari sema nami bwana w-ngu
nyumbani kw-ngu sema nami bwana w-ngu
kazini kw-ngu sema nami bwana w-ngu
niko tayari sema nami bwana w-ngu
niko tayari sema nami bwana w-ngu
end
Random Song Lyrics :
- dorothy - philippa hanna lyrics
- da janela pra deus - anderson freire feat. gisele nascimento lyrics
- pandillera - dandy overdose lyrics
- ben imkansız aşklar için yaratılmışım - erol evgin lyrics
- como está escrito - manuel espinoza feat. anavella lyrics
- #yaxşıkivarsan - miri yusif feat. roya lyrics
- mula mula - haricharan lyrics
- get away - dj mustard feat. rjmrla lyrics
- slow mo - beauz feat. i.c.e. & cydney lyrics
- la verità - talco lyrics