
asante - marioo lyrics
mmmhh
ivi mapenzi ni kitu gani?
mbona sa hayana huruma mmhh
haya mapenzi ya nani ii?
huku mbele ah yamekuja kuwaje aah
gafla kila ninacho fanya hakimpendezi
eti namkera
na kasema akinifumania wala haimchomi
nafwata kila anachosema sijiwezi naunga tera
ila sababu ananinunia wala sijui
ubaya nilimpenda sana
ukweli nampenda sana
na kama mapenzi nilimpaga yote naumia sana
ubaya nilimpenda sana
ukweli nampenda sana
na kama hizi hapa ndo fadhila oyaa asante
asante
asante
asante
mi nawawaza majirani wanaojua nakupenda
ina maana wakiniona watajua sipo sawa
nikawakwaza kisirani popote ninapo kwenda
haya maumivu nani aje kuntua mwenzenu napagawa
mmh si sio mbaya kujisevia unachojisikia
hiki kipindi mi nalia hukosi wenzangu wanafurahi
si sio mbaya kujichimbia ulipopenda dear
hata kama nikilia sawa wenzangu kufurahi
ubaya nilimpenda sana
ukweli nampenda sana
na kama mapenzi nilimpaga yote naumia sana
ubaya nilimpenda sana
ukweli nampenda sana
na kama hizi hapa ndo fadhila oyaa asante
aah mh mh eehh
asante
eehh mh hm aaah
asante
mmmh ehh eh mmhm
asante
oyaaaa mhh aaahh
aaaaah
asante
Random Song Lyrics :
- half of the time - leo kennedy lyrics
- forever and ever, amen (live in nashville) - music travel love lyrics
- isn't it strange - average white band lyrics
- we are the chosen - b-free (비프리) lyrics
- pied piper - in gowan ring lyrics
- getting to the money - ken the rapper lyrics
- charge it to the game - kid kern lyrics
- anarchy - iayze lyrics
- ocean - odprophet lyrics
- down/up! - young xang lyrics