
intro - matata lyrics
[intro: phy]
mum alisema, “your the brightest star
na usisahau that my love for you will go far
[interlude 1: matata mums]
naitwa naomi mwikali (ndio mama ken)
bancy nyaguthie (mimi ndiye mama richie)
patricia milanya (mimi ndiye mamake fred)
kwa majina naitwa everlyne ojiambo (mimi ni mama marcus)
lucy nyoroka (mama ya fezzo)
richie akiwa class two hapo alikuwa ye anadance tu
marcus akiwa na miaka k*mi alitokea kwa kikundi ya kanisa
nilijua huyu mtoto alikuwa na talent akiwa three years na nikambia mungu kwa sababu yeye ni mungu ambaye hukuza talent amtangulie
alikuwa anapenda muziki anapenda kudance
[break]
matata, matata, matata
matata
[interlude 2: matata mums]
na mimi huwa napenda hizo nyimbo zote
lakini wimbo yenye napenda zaidi ni ‘mare mare’
‘mapema’ very first ilinifurahisha mpaka hata wa leo
hii yenye ilitoka wanaimba ‘come baby, come baby’ hiyo ndio napenda sana
ile ya uthoni inaitwaje?
‘ruracio’ ndio na skizanga nikasema hawa watoto wamefikiria nini kuimba hiyo ya uthoni
naskiza na kwa makini sana kwa sababu ninajua kama sasa mambo ya ruracio that is ‘dowry’ then wako gangare
Random Song Lyrics :
- against the tide - awakend & ava silver lyrics
- throwoutmysoul - deadr4tt lyrics
- я считаю шагами недели (i count the steps of the week) - mari ova lyrics
- skadality forever - the window smashing job creators lyrics
- sike - armani caesar & beatking lyrics
- untitled* - central cee lyrics
- stay on my mind - leeson bryce lyrics
- jesus is lord - planetshakers lyrics
- gotta get me somebody to love - peter stampfel lyrics
- de van eu vou - jhonatan salles lyrics