
namwachia - maua sama lyrics
[verse 1]
yangu furaha, imegeuka majuto
kicheko kimegeuka kilio
ila ninaamini wema hauozi umenipa mazito, me naumia hey
nilijua utanifuta machozi umenipa majonzi, me nalia
[pre chorus]
zangu hisia nilishindwa kuficha
wazi wazi ukatambua
na ndonga ukanpasua
w*ngu rafiki, wote ulowajua
na nguo ukawavua, pasipo me kujua
wacha nikae pembeni
[chorus]
(namwachia mungu tu)
labda kuna mahali nilikosea
(namwachia mungu tu)
kesi yako kwake nakushtakia
(namwachia mungu tu)
maana umezidi kunionea
(namwachia mungu tu aaaahh)
[verse 2]
nilikupa muda na vyote vilivyo vyangu
ila malipo ya yote kunitukanisha na ndugu zangu
kweli mzoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi
nimelijua sawa
moyo w*ngu umeuchakaza
umehondomola mpaka gunzi
wema umenilipa ubaya
sitoshindwa hata tukionana
kuachana sio uhasama
sintothubutu kuzozana nimekunawa
nakuombea kheri salama
umpate yule mtakae wezana
k*mbuka kugunga zipu bwana msije kwazana
[pre chorus]
zangu hisia nilishindwa kuficha
wazi wazi ukatambua
na ndonga ukanpasua
w*ngu rafiki, wote ulowajua
na nguo ukawavua, pasipo me kujua
wacha nikae pembeni
[chorus]
(namwachia mungu tu)
labda kuna mahali nilikosea
(namwachia mungu tu)
kesi yako kwake nakushtakia
(namwachia mungu tu)
maana umezidi kunionea
(namwachia mungu tu aaaahh)
Random Song Lyrics :
- waiting (radio edit) - friend within lyrics
- flipside - sleaford mods lyrics
- great collectives - giggs lyrics
- tommy jeans - lazza lyrics
- clark griswold - hilltop hoods lyrics
- on a mountain - gunna lyrics
- vai meu povo - gonzaguinha lyrics
- come le sirene - lazza lyrics
- wide eyes - badflower lyrics
- rapaziada - gonzaguinha lyrics