
kunguru - mbosso lyrics
[intro]
huyo, huyo
huyo, huyo, huyo, huyo, huyo
huyo, huyo
[verse 1]
nilikuwa na mpenzi, mpenzi, mpenzi, mpenzi, mpenzi
nikasema k*muacha siwezi, siwezi, siwezi, siwezi
akanifanyia ushenzi, ushenzi, ushenzi, ushenzi, ushenzi
nikayachukia mapenzi, mapenzi
[pre*chorus]
leo kaanza kuniita bebe (ananiita bebe)
hivi ananiona mi bwege (ananiona bwege)
anajilegeza lege
anataka tena mshedede
[chorus]
f*kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
f*kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
[hook]
wanini, wanini, wanini mimi wanini
wanini, wanini, wanini mimi wanini
wanini, wanini, wanini mimi wanini
wanini, wanini, wanini mimi wanini
[chorus]
f*kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
f*kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
[verse 2]
ndio basi (ndio basi tena)
haunipati (haunipati tena)
oh, ndio basi (ndio basi tena)
haunipati (haunipati tena)
[bridge]
nauko*kome, kujitumisha meseji
nauko*kome, kuniita ita baby
nauko*kome, kujitumisha meseji
aii ko*kome, kuniita ita baby
[pre*chorus]
oya kaanza kuniita bebe (ananiita bebe)
hivi ananiona mi bwege (ananiona bwege)
anajilegeza lege
anataka tena mshedede
[chorus]
f*kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
f*kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
[hook]
wanini, wanini, wanini mimi wanini
wanini, wanini, wanini mimi wanini
wanini, wanini, wanini mimi wanini
wanini, wanini, wanini mimi wanini
[chorus]
f*kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
f*kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
Random Song Lyrics :
- no publishing - drew famous lyrics
- blockeil - pajafella lyrics
- 維尼近平 - jannif lyrics
- you're the storm (sandkvie session) - the cardigans lyrics
- sativa e indica - killa weed gang lyrics
- filme - vietnã lyrics
- i owe a lot to iowa pot - napoleon xiv lyrics
- good - prophed lyrics
- wild thoughts - alpha & the van lyrics
- its whatever - princepapiix lyrics