
kupenda - mbosso lyrics
[intro]
ayo lizer
[verse 1]
nilibisha nilibisha
mama alipo nambia
ukipenda jeuri kwisha
leo nayashuhudia
hayapiti madakika
simu sijampigia
yani sili kupitisha
sauti nisipomsikia
[chorus]
kama kupenda
ndo huaga hivi
mi mwenzenu uchizi naugulia
kama kupenda
ndo huaga hivi
mi mwenzenu uchizi naugulia
[verse 2]
oneni ona, macho tukitazamana
ubaridi homa, aibu tumezidiana
oneni ona, macho tukitazamana
ubaridi homa,aibu tumezidiana
kwako kijumbe fanani, itangazie hadhira
chuma changu kipo ndani, nakinusuru madhira
nyie wa barabarani, waendesha katapira
hii derby ya watani, haina kutoka bila
[chorus]
kama kupenda
ndo huaga hivi
mi mwenzenu uchizi naugulia
kama kupenda
ndo huaga hivi
mi mwenzenu uchizi naugulia
aaaah kama kupenda
ndo huaga hivi
mi mwenzenu uchizi naugua
wanipanda wazimu, wanipanda
(kama kupenda, ndo huaga hivi)
mi mwenzenu, hali yangu mbaya
(mi mwenzenu uchizi naugulia)
Random Song Lyrics :
- conceptual romance - jenny hval lyrics
- back-alley monologue - 漣ジュン(cv.内田雄馬) lyrics
- my mind is clear - pompeya lyrics
- bloody murder! - lilguaposucio lyrics
- tomtens sommarsång - michael b. tretow lyrics
- if you're going down (i'm going with you) - the hype theory lyrics
- afro samurai theme (first movement) - rza lyrics
- mvp - z.b.u.k.u lyrics
- invencible - yuri lyrics
- prize - arto lindsay lyrics