
pawa - mbosso lyrics
[verse 1]
kamusi namaliza kurasa kukusifia
matusi naiona basata wakinifungia
theluthi hizi raha ninazopata mia fil mia aah
mjusi ukuta wa plasta nauparamia
[pre chorus]
na kama penzi ni chupa la bia
nipe sana niwe mlevi ni yumbe‑yumbe njia
kwa maana we mlezi na unanijulia
hawana hawawezi pakukuibia dear
[chorus]
pawa pawa
naishiwa pawa
penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
pawa pawa
naishiwa pawa
penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
[verse 2]
nilifeli secondary kwendaga chuo
ila kufeli penzi lako sina hilo chaguo
yeremia mstari ni funue ufunuo oooh
nikupambe kwa matari mwilini iwe nguo
[pre chorus]
na kama penzi ni chupa la bia
nipe sana niwe mlevi ni yumbe‑yumbe njia
kwa maana we mlezi na unanijulia
hawana hawawezi pakukuibia dear
[chorus]
pawa pawa
naishiwa pawa
penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
pawa pawa
naishiwa pawa
penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Random Song Lyrics :
- prometheus - saltatio mortis lyrics
- no regrets - inja lyrics
- pussycat - awe lyrics
- the 2 of us - moto boy lyrics
- girl - woogie lyrics
- sweaters - colour me wednesday lyrics
- plus tard - artripen lyrics
- dancing with the ark - apologetix lyrics
- węgry - mc wojtu$ lyrics
- center of your heart - michael monroe lyrics