
sitaki - mbosso lyrics
[verse 1]
mimi wewe mimi ntakufa na wewe
mimi wewe mimi ntakufa na wewe
ni baraka za mungu za malaika
zimefanya mi nawe tujuane
sinashaka maana imeandikwa
ndege warukao wafanane
sisikii la muadhini wala la mnadi swala
tumelishana yamini kwa dua sio kafara
sio wanyuzi tisini wala buku shidala
mambo yakuzini zini tuwe halali twahara
[pre*chorus]
kama mapenzi ugonjwa wa macho mi kabisa kengeza
na kama changuoni ndo kikulacho mi huyu kanimeza
[chorus]
na sitaki nishauriwe, sitaki nishauriwe
na sitaki nishauriwe, sitaki nishauriwe
[verse 2]
ngamia w*ngu anifaae jangwani
nimemuombea dua tusiishie njiani
ngamia w*ngu anifaae jangwani
nimemuombea dua tusiishie njiani
ooh usingizi w*ngu zeze la kitandani
nimemuombea dua tusiishie njiani
ngamia w*ngu anifaae jangwani
nimemuombea dua tusiishie njiani
[pre*chorus]
kama mapеnzi ugonjwa wa macho mi kabisa kengeza
na kama changuoni ndo kikulacho mi huyu kanimeza
[chorus]
na sitaki nishauriwе, sitaki nishauriwe
na sitaki nishauriwe, sitaki nishauriwe
[outro]
aiih makopa kanimwagia makopa jama
(aiih makopa kanimwagia makopa jama)
aiih makopa kanimwagia makopa jama
(aiih makopa kanimwagia makopa jama)
ma ma ma ma kanimwagia makopa jama
(aiih makopa kanimwagia makopa jama)
mwa mwa mwa kanimwagia makopa jama
(aiih makopa kanimwagia makopa jama)
Random Song Lyrics :
- transcendance - sylosis lyrics
- two sides - joel taylor lyrics
- 집 앞에서 (way back home) - j-min x shim eunji lyrics
- years of overexposure - silk animus lyrics
- the dark side of town - the white buffalo lyrics
- vida sinaloense - la adictiva banda san josé de mesillas lyrics
- syurga sang pencinta - payslip lyrics
- solle-b - lil' launchpad x lil' lean lyrics
- xxvi - bobby gore lyrics
- i won't give up my train - rob ickes and trey hensley lyrics