
tena - mbosso lyrics
[verse 1]
jasho lilinitoka mwenzenu
aata kwenye ic
yule niliisema ni shemeji yenu
amenipandisha bp
[pre chorus]
ngumi mkononi kufa na maungoni
yemi sijazoea
yanamtoka mdomoni nakosa silioni
mwenzangu ananifokea oh no‑no
[chorus]
kwake mi kurudi tenaa
hilo haliwezekani
mimi k*mpenda tena
si bora tu nifuge nyani
kwake mi kurudi tenaa
hilo haliwezekani
mimi k*mpenda tena
si bora tu nifuge nyani
kwake mi kurudi tenaa
hilo haliwezekani
mimi k*mpenda tena
si bora tu nifuge nyani
[verse 2]
mambo ya kulilia mapenzi
ni miaka tisini kushuka chini
watoto elfu mbili hawawezi haya mambo
lilowekea akilini
[pre chorus]
ngumi mkononi kufa na maungoni
yemi sijazoea
yanamtoka mdomoni nakosa silioni
mwеnzangu ananifokea oh no‑no
[chorus]
kwake mi kurudi tenaa
hilo haliwеzekani
mimi k*mpenda tena
si bora tu nifuge nyani
kwake mi kurudi tenaa
hilo haliwezekani
mimi k*mpenda tena
si bora tu nifuge nyani
kwake mi kurudi tenaa
hilo haliwezekani
mimi k*mpenda tena
si bora tu nifuge nyani
kwake mi kurudi tenaa
hilo haliwezekani
mimi k*mpenda tena
si bora tu nifuge nyani
Random Song Lyrics :
- рокаю - ykalory lyrics
- novelas - noches lyrics
- establishing shot - ultravialit lyrics
- trampa mental - azzat lyrics
- jackie holidays - jackie extreme lyrics
- hbd to you - csr (첫사랑) (kor) lyrics
- fwys - destroy lonely lyrics
- so torn - kiryano lyrics
- imperator - matiskater lyrics
- not my fault - reneé rapp & megan thee stallion lyrics