
yalah - mbosso lyrics
(ayolizer)
nimesadiki ya wahenga
penzi lina raha yake
mzigo kwa tenga
imfaacho mtu chake
denge nimekatwa ngenga
ah umate mate
najinyenga nyenga
mao mao maotate
huwaga sioni
ninavyoipanda milima
ulimi sikioni
mwili wote wanizizima
mwenzenu sioni
macho mawili yote sina
tunaanza jikoni
mpaka varandani twalilima
yalah! yalah yalah, yalah yalah
oooh yalah yalah yalah yalah
penzi limenizidia, yalah yalah
ni kubwa, yalah yalah
zito, yalah yalah, yalah yalah
tungezaliwa zamani
ningesema penzi toga
tulinywe kibarazani
tukitafuna maboga
nimekipanda uani
kibustani cha uyoga
tukishiba biryani
baby tule mboga mboga
sasa polisi wa nini?
nikikosa nikamate wewe
mahakama ya nini?
nikikosa nihuk*mu wewe
penzi chupa la balindi
tuligide baby hadi tulewe
videge shorwe vya nini?
kifaranga we nibеbe mwewe
huwaga sioni
ninavyoipanda milima
ulimi sikioni
mwili wotе wanizizima
mwenzenu sioni
macho mawili yote sina
tunaanza jikoni
mpaka varandani twalilima
yalah! yalah yalah (yalah yalah) yalah yalah
(yalah yalah) yalah yalah yalah yalah
penzi limenizidia, yalah yalah
ni kubwa, yalah yalah
zito, yalah yalah, yalah yalah
Random Song Lyrics :
- queens - the gems [sweden] lyrics
- μη γυρίζεις πιά (mi girizeis pia) - antonis remos lyrics
- 222 (remix) - pisceze lyrics
- it’s our arbor tonight - fawn wood lyrics
- money talk - lor james lyrics
- into the atmosphere - sigga ózk lyrics
- ela não é apresentadora, mas é angélica (parte ii) - lucão henrisant lyrics
- electric energy - ariana debose, boy george & nile rodgers lyrics
- later met je beste zelf - de ambassade lyrics
- howling ghosts in strangers' rooms - crypticrarity lyrics