
kodoo - mimi mars lyrics
kutwa kuchaa niko nae
kwenye shida na raha niko nae
si subutu hata kuachana nae
akinuna me nacheka nae
natamani hata hii dunia ingekuwa yangu
nikupu wewe (nikupe wewe)
na kama wapo wengine wasiotaka mimi nikupende (nikupende)
acha watutolee macho macho
macho kodoo
macho, macho, macho kodoo
acha watutolee
macho (kodoo) macho,macho kodoo
macho (kodoo) macho,macho kodoo
nakupenda balaa (balaa)
na vile unanyyodenda balaa (balaa)
yani tunapendana balaa (balaa) mi love, mi love
na tena nishawambia umenishika ah
tena umenishika haswa
hata ukinigusaga nafurahi
unanijulia sita kwa sita sasa
maji yamenifika hapa
safari nafikaga na ndo maana
natamani hata hii dunia ingekuwa yangu
nikupe wewe (nikupe wewe)
na kama wapo wengine wasiotaka mimi
nikupende (nikupende)
acha watutolee macho macho
macho kodoo
macho macho, macho kodoo
(acha watutolee)
macho (kodoo) macho,macho kodoo
macho (kodoo) macho,macho kodoo
simuachi… simuachi, simuachi
simuachi… simuachi, simuachi
acha watutolee macho macho
macho kodoo
macho macho, macho kodoo
(acha watutolee)
macho (kodoo) macho,macho kodoo
macho (kodoo) macho,macho kodoo
Random Song Lyrics :
- prayer for the afflicted - children of bodom lyrics
- двигай бедрами (prod. by smithwess) - gezweirdo lyrics
- alluvial - arliss nancy lyrics
- in the morning - jaws lyrics
- ghetto n.i.g.g.a. - dizzy wright lyrics
- bent nas | بنت الناس - fnaire lyrics
- holes - crash the calm lyrics
- quanta saudade - raça negra lyrics
- за буйки (za buyki) - gusli lyrics
- giorno nero - gemitaiz lyrics