
pole - mimi mars lyrics
[verse 1 : nandy]
hivi ushasikia
mtu anaogeshwa na mdalasini
maana sio jina, anataja mpaka ubini
tena akiumwa huwaga hataki quinine
anachokitaka kuniona mimi
tena mkaka kw*ngu ndo kafall, ooh
yaani mazima, aah
kw*ngu hana shaka
kwako atakuja tomorrow
yaani kazima, aah
[pre*chorus : nandy]
nikuambie tu
mi ndo wakwanza
kama ukitaka kukiwasha, tunakiwasha
nikuambie tu
mi ndo wakwanza
kama ukitaka kukiwasha, tunakiwasha
[chorus : nandy]
nasema pole
wacha nikupe pole
mwenzangu pole
wacha nikupe pole
[verse 2 : mimi mars]
utanifanya nini kwanza kwa mfano?
we utajuaje tuko watano?
hata kw*ngu mimi, yaliyomo yamo
(ooh, yaliyomo yamo)
nampa vya pwani, vya kizaramo
tena usijaribu mashindano
huniwezi hata kimuonekano
(caah, muonekano)
[bridge: mimi mars]
sina noma, sina noma
nachotaka kukuambia sisi tushapendana
sina noma, sina noma, yeah
nachotaka kukuambia sisi tushapendana
[pre*chorus : mimi mars]
nikuambie tu
nishajipanga
kama ukitaka kukiwasha, tunakiwasha
nikuambie tu
nishajipanga
kama ukitaka kukiwasha, tunakiwasha
[chorus : mimi mars]
nasema pole
wacha nikupe pole
mwenzangu pole
wacha nikupe pole
Random Song Lyrics :
- grande come l'oceano - diaframma lyrics
- let it ride - the rice brothers lyrics
- cut it out (remix) - aflacko lyrics
- bi liran var mı ? - ceza lyrics
- on they ass - dababy lyrics
- blood (russian lyrics - d1zzz (rus) lyrics
- murdered by grief - frowning lyrics
- your own sweet time - shanley del lyrics
- stirna - ipstens kūns lyrics
- wanda - force fed food lyrics