lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

si unajua (remix) - msomali lyrics

Loading...

[intro: dulla makabila]
oohohhohh ohohhoho
oohohhohh ohohhoho
ohhhhh

[verse 1: dulla makabila]
kuna muda najikaza tu
ila shemeji yenu hajatulia
nimekuwa fala tu wakinitongoza namwambia
katembwa na rafiki zangu
na wala hajali kama nimejua

nikimblock saa sita
saa sita na nusu namblock ua
ukiniona nimeanza kunenepa
sura ina nuru shavu linatoka
yeye huyoo

muda wote na furaha
na video call zisizo kwisha
yeye huyoo
ukiniona na mawazo
kula siwezi
yeye huyoo

nagombana na watu
kisa mapenzi
yeye huyoo
hili penzi lishakuwa kitanzi
yeye huyoo
linanifanya nikose pumzi
yeye huyoo
ataniua
ananitesa mimi

[pre*chorus: dulla makabila]
si unajua yeye kw*ngu ndiyo kila kitu
si unajua mimi nataka afike kwetu
si unajua nimezaliwa mtu kutu
si unajua mf*koni mimi sina kitu

[verse 2: msomali]
lile serenge serenge dazeni
nishakula vitu vyangu sitaki zeshene
si unajua mtaani wanaita panya
nalivuta kiunoni ukinichanganya

si unajua mtaani wanaita panya
nalivuta kiunoni ukinichanganya

maisha yangu unajua
sina kitu mf*koni fedhea
na wewe unataka tufunge ndoa
je nikuulize unaweza kuvumilia

[chorus: msomali]
si unajua mi mwenzako sina kitu
si unajua baba na mama makapukuu
si unajua nimezaliwa mtukutu
si unajua nasifika wizi wa kukuu
aaah vitamin yooh

Random Song Lyrics :

Popular

Loading...