
tumeachana - msomali lyrics
[intro]
j4d sound
aaah vitamin, yooh
aaah msomali hapa
adasco mtu mbaaaya
[verse 1]
sik*muambia simtaki mimi
hakuniambia hanipendi mimi
sik*muambia simtaki mimi
hakuniambia hanipendi mimi
ilaa the session kibao, vurugu kibao
lakini hata siku moja hatuj*pigana vibao
ilaa the session kibao, vurugu kibao
lakini hata siku moja hatuj*pigana vibao
[chorus]
oooh ohhh ohhhh, oooh
mi nashukuru wote tumeachana
mdogo mdogo bila kugombana
mi nashukuru wote tumeachana
mdogo mdogo bila kupigana
oooh ohhh ohhhh, oooh
nikik*miss nitakupiga simu yako
ukinimiss embu nipigie namba yangu
nikik*miss nitakupiga simu yako
ukinimiss embu nipigie namba yangu
[verse 2]
eti nilimpenda, tulipendana
ila tulianachana, hatujagombana
oya nilimpenda, tulipendana
ila tulianachana, hatujagombana
kapata mwengine anempenda zaidi
anakula vingi, mwezangu anafaidi
kapata mwengine anempenda zaidi
anakula vingi, mwezangu anafaidi
[bridge]
konpa, kompaa
anakuja na lovebite shingoni
napotezea, nafanya kama sioni
nikiomba mi nanyimwaa
nikiforce natukanwaa
mama kanifunza kukaa kimya ni sunna
machoni nacheka, moyo umenunaa
kanifunza kukaa kimya ni sunna
machoni nacheka, moyo umenunaa
[outro]
ila namuachia mwenyezi
kuforce force nako mapenzi nako siwezi
ila namuachia mwenyezi
kuforce force nako mapenzi nako siwezi
eti nilimpenda, tulipendana
ila tulianachana, hatujagombana
kapata mwengine anempenda zaidi
anakula vingi, mwezangu anafaidi
[name hyped]
compa, kompaa
Random Song Lyrics :
- killjoy - pawdroost lyrics
- crash out - elcammgguod lyrics
- lb - 42 lyrics
- нервы (nerves) - sxmon lyrics
- 黑天鵝 (black swan) - 藍奕邦 (pong nan) lyrics
- psychofreak - rain paris lyrics
- good love - nndn lyrics
- νυχτέρι (nihteri) - thanasis papakonstantinou lyrics
- ojeras x ti - ritorukai lyrics
- whisper on the wind - school is cool lyrics