ufala - munta dee lyrics
[verse 1]
adasco m2 mbaya
uo ufala wa kukupenda
tena mimi sina
nishaachana na wengi
itakuwa wewe kimaa
tena nikikuona najiona fala
kulaaanina
ndio mimi nilikuwa nalia
kisa wewe kweli ufala
[chorus]
ulikuwa utoto
sasa hivi nishakuwa my
ule kweli ulikuwa utoto
asaivi nishavuka my
ah, ulikuwa utoto
sasa hivi nishakuwa my
ule kweli ulikuwa utoto
asaivi nishavuka my
[verse 2]
mi sio tozzy wewe
saivi na vitu vyangu
embu toka nipishe, sio type yangu
uliniona wa nini
nishapata wakunipenda
penzi kutwa utemi
uogopwe, umekuwa defender
mwenzako napewa kitu
roho yangu inapenda
changu chake changu
chake chake pembaa
[chorus * repeat]
ulikuwa utoto
sasa hivi nishakuwa my
ule kweli ulikuwa utoto
asaivi nishavuka my
ah, ulikuwa utoto
sasa hivi nishakuwa my
ule kweli ulikuwa utoto
asaivi nishavuka my
Random Song Lyrics :
- falsche liebe - king azzen lyrics
- f.i.l - verivery lyrics
- son of a gun - dumbfoundead lyrics
- wolf fangs - einstein lyrics
- summer in the sun - saving abel lyrics
- bad - verse simmonds lyrics
- so good - teeflii lyrics
- short story - 3-15 lyrics
- the neighborhood - illecism lyrics
- feel you - tbone fanton lyrics