
hata sielewi - mwanafa lyrics
faaalsafaa
falsafa hommie
samaa
are you listening?
verse i;
bonge la mtoto/bonge la zigo/
naamini sioti coz naipenda hii ndoto/
sitoi boko/na naamini hayuko soko/
ntamvisha pete leo leo/
sio wa mchezo ka kazi ya kwenye video/
ananikaanga roho/ananisaga moyo/
sipo sawa akili imevurugwa nayo/
nilikuwa poa tu kabla hatujakutana/
gangster kama mimi hakuna/
hana wasiwasi anatembea kama hataki,anajivuuta/na kila hatua ina nukta/
kiuno cha nyigu/rangi ya kinugu/
nashangaa maujuzi ya mungu/
hakuna kovu hakuna sugu/
maswali bila ya majibu/
hook:
so unafanya nionekane chizi/
hata sielewi nini la kufanya/
akili hazifanyi ka zimekufa ganzi/
hata sielewi naona nyota mamaa/
where you coming from?/
hata sielewi/sielewi/
where you coming from?/
hata sielewi/sielewi/
sielewi sielewi eeh,eeh
sielewi sielewi eeh,eeeh
verse ii;
sielewi lugha nyingine/
macho yamegoma hayaoni kiumbe mwingine/
huyu ntakopa ntaazima/ila lazima/
ninyooshe mji mzima/
acha moyo unibebe unipeleke unapotaka/
ntarudi siku ukitaka/
im all in,im fallin’/
maskio yataniziba akiniita darling/
moyo unanienda mbio,naisoma namba/
mwili mlaini utasema aliumbwa kwa pamba/
hana chale hana shanga/
mimacho imentoka ile kishamba/
sina hakika ni chiicha au ganja za zamani/
ila ana siifa za kuitwa mwandani/
tuchangie shuka,tuchangie majina/
nimshike mkono niende nae dunia nzima/
hook
maua;
umetokea wapi kwani?/
na umetumwa na nani?/
umekuja na uganga wa wapi?/
nilikuwa sawa kabla sijakutia machoni/
sielewi sielewi eeh,eeh
sielewi sielewi eeiiih,eeeh
hook
hata sielewi naona nyota mamaa
hata sielewi naona nyota mamaa
Random Song Lyrics :
- play the roll - jc the crwd lyrics
- trap - 33black lyrics
- ни с кем (with nobody) - денiска (russ) lyrics
- bosno moja, majko moja - milos bojanic lyrics
- aquella vez - roshdelmar lyrics
- fets de fil (speed up version) - maria hein lyrics
- its ok 2 not be ok - pete powers lyrics
- life's about - enkara & prasiman lyrics
- the last of us - yung cosby lyrics
- 너는 내 운명 (acoustic version) - 감성소년 (sentimental boy) lyrics