
njoo kwa mtu mkweli - mwanahawa ally lyrics
verse 1
huyo wewe ulonae wala hakustahiki
huyo wewe ulonae wala hakustahiki
bure kupendana nae kujitia kwenye dhiki
bure kupendana nae kujitia kwenye dhiki
njoo kwa akupendae, utoke kwenye khilaki
njoo kwa akupendae, utoke kwenye khilaki
chorus
bure unahangaika, kupenda hajakujua
bure unahangaika, kupenda hajakujua
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
verse 2
njoo kwa mtu mkweli, hatojua kukuenzi
njoo kwa mtu mkweli, hatojua kukuenzi
alo na pеndo la ghali lisilo na pingamizi
alo na pendo la ghali lisilo na pingamizi
njoo uingie hali, utoke kwеnye simanzi
njoo uingie hali, utoke kwenye simanzi
chorus
bure unahangaika, kupenda hajakujua
bure unahangaika, kupenda hajakujua
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
verse 3
hujaonja ladha yake, hujayajua mapenzi
hujaonja ladha yake, hujayajua mapenzi
hujui haiba yake, siri hujaimaini
hujui haiba yake, siri hujaimaini
shuruti utoke kwake, uje kwa alo mjuzi
shuruti utoke kwake, uje kwa alo mjuzi
chorus
bure unahangaika, kupenda hajakujua
bure unahangaika, kupenda hajakujua
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
verse 4
ukijaa utaenziwa kwa utashi na kwa haki
ukijaa utaenziwa kwa utashi na kwa haki
kw*ngu utahifadhiwa na wala sikuepuki
kw*ngu utahifadhiwa na wala sikuepuki
pendo langu la huruwa, sifa yangu sigeuki
pendo langu la huruwa, sifa yangu sigeuki
chorus
bure unahangaika, kupenda hajakujua
bure unahangaika, kupenda hajakujua
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
kwanini unateseka urudi kw*ngu ukapoa
Random Song Lyrics :
- 赤と白と黒の系譜 - ひとしずく×やま△ feat. 鏡音リン・レン lyrics
- 宴 - 井上ヨシマサ lyrics
- あなたと並んで幸せな私 - 坂本スミ子 lyrics
- heart attack - hocico lyrics
- pulsar - transceiver lyrics
- cunning night - posidonia lyrics
- route216 - 新納慎也 lyrics
- don't pass on me - woods lyrics
- hooked! - the cheaters lyrics
- let it die , let it go - asobius lyrics