asante - nandy lyrics
[verse 1]
kwenye mapito nitetee
nishike nivushe
ya dunia mazito baba
usiache yanilemee
faraja yangu i kwako
usinishushe nipandishe
ya dunia mazito baba ee
[pre chorus]
hata ninapokosea, we huna hasira
unasamehe makosa yangu
eh, eh aah, n*z*ona zako fadhila
umenitendea, umekuwa upande w*ngu
[chorus]
wewe ni nuru (nuru) wewe ni maji (maji)
wewe ni uzima (uzima) nashukuru umenitendea mema
wewe ni nuru (nuru) wewe ni maji (maji)
wewe ni uzima (uzima) nashukuru umenitendea mema
[bridge]
asante jehovah
asante jehovah
asante jehovah
[verse 2]
nyakati za shida, wakati wa vita
uliniwaza toka mwanzoni
wakanena mabaya wakanipaka za ubaya
ulinivusha nisiaibike
[pre chorus]
hata ninapokosea, we huna hasira
unasamehe makosa yangu
eh, eh aah, n*z*ona zako fadhila
umenitendea, umekuwa upande w*ngu
[chorus]
wewe ni nuru (nuru) wewe ni maji (maji)
wewe ni uzima (uzima) nashukuru umenitendea mema
wewe ni nuru (nuru) wewe ni maji (maji)
wewe ni uzima (uzima) nashukuru umenitendea mema
[outro]
wasema nami, wasema nami bwana wasema nami
nyakati za shida hujanichoka, umekuwa mwema kw*ngu
wasema nami, wasema nami bwana wasema nami
makati wa shida hujanichoka, umekuwa mwema kw*ngu
Random Song Lyrics :
- babyteef pt. 2 - coupdekat & kkbutterfly27xx lyrics
- innit - dj n.e.p & thekidsnextdoor lyrics
- phantom - emmanuel. (wafle) lyrics
- zendegio marg - kourosh yaghmaei lyrics
- gato negro - los cervantez lyrics
- quotes from the low - low down da sinista lyrics
- redemption arc - instant crush lyrics
- casper - violet grae lyrics
- kaif - 36zipp lyrics
- destron - carol cleveland sings lyrics