kwamanati - nandy lyrics
[chorus : nandy]
kama pesa nizetu, bill pia ni zetu
tuacheni tunywe, tulewe
kama shida ni zetu, raha pia ni zetu
tuacheni tunywe, tulewe
[verse 1 : nandy]
pesa yenyewe ya manati
madanga nao wa manati
isitoshe kunipata mimi kwa manati
kwa manati, kwa manati
pesa yenyewe ya manati
madanga nao wa manati
isitoshe kunipata mimi kwa manati
kwa manati, kwa manati
leo tunakesha, mimoshi ya shisha
pisha njia pisha, punguza kubisha
leo tunakesha, mimoshi ya shisha
pisha njia pisha, punguza kubisha
[chorus : nandy]
kama pesa nizetu, bill pia ni zetu
tuacheni tunywe, tulewe
kama shida ni zetu, raha pia ni zetu
tuacheni tunywe, tulewe
[verse 2 : fire mlilo]
ebathi fire injakagogo twana
izwa lesgubhusa siya fitha
nikеla okhethu bra biza
ngicela lama short weh thakila
nangu my sistеr uyang dinga
ebathi fire injakagogo twana
izwa lesgubhusa siya fitha
nikela okhethu bra biza
ngicela lama short weh thakila
nangu my sister uyang dinga
dlala sister wena barbie girl
ubani ozoktshela vuli fes sterr
kuvulwe i circle umane u plasterr
lapho njakagogo lvele i level
ngihamba no nandy nandy nandy
sidla ama sweetie am’nandy nandy
ngiphethe no lg asambe
[verse 3 : nandy]
pesa yenyewe ya manati
madanga nao wa manati
isitoshe kunipata mimi kwa manati
kwa manati, kwa manati
pesa yenyewe ya manati
madanga nao wa manati
isitoshe kunipata mimi kwa manati
kwa manati, kwa manati
leo tunakesha, mimoshi ya shisha
pisha njia pisha, punguza kubisha
leo tunakesha, mimoshi ya shisha
pisha njia pisha, punguza kubisha
Random Song Lyrics :
- non sono sempre stelle - charme & noir lyrics
- groovv - kulaphantasy lyrics
- dirty dan - hellboy.lust lyrics
- otff (only the family & friends) - aderawayne lyrics
- nuk jom vet - mc kresha & lyrical son lyrics
- dil se mat khel - kk & leslie lewis lyrics
- red light - sterling elza lyrics
- quante notti - cor veleno lyrics
- yarə məni - pərviz bülbülə lyrics
- i do - coby james lyrics