
mimi ni wa juu - nandy lyrics
kuna wakati wa giza
mbele sioni najiuliza
mbona kama hizi shida
zimekawia kuisha
katikati ya maswali
nasikia sauti ndani, imebeba ujasiri
ikinitaka nikiri nikisema
mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
mimi ni wa juu, juu sana
mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
mimi ni wa juu, juu sana
sitafsiriwi kwa haya, machozi na magumu
mimi ni mshindi tu, kamusi ndiye mungu
haijalishi ni giza, yeye ni nuru yangu
nitashinda hii vita na yote yatakwisha
ntasimama tena, ntainuka tena
mimi ni wa juu tu, mimi ni wajuu tu
ntasimama tena, ntainuka tena
mimi ni wa juu tu, mimi ni wajuu tu
mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
mimi ni wa juu, juu sana
mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
mimi ni wa juu, juu sana
nawaza yaliyo juu, nawaza yaliyo juu
juu sana
nawaza yaliyo juu, nawaza yaliyo juu
juu sana
mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
mimi ni wa juu, juu sana
sitafsiriwi kwa haya, machozi na magumu
mimi ni mshindi tu, kamusi ndiye mungu
mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
mimi ni wa juu, juu sana
Random Song Lyrics :
- cabaret - the breaklights lyrics
- pist'on - black and white lyrics
- la volta buona - alessandra amoroso lyrics
- throw it down - a. swiss lyrics
- loves anthem - james swanko lyrics
- sharkfood - merty shango lyrics
- apollo's anthem - larepstar lyrics
- lennon - skinnie trill lyrics
- emotional (dj dahi remix) - snoh aalegra lyrics
- hawks & doves - neil young lyrics