nipo naye - nandy lyrics
[verse 1]
asante baba kwa kuikata kiu yangu
nimekuwa shahidi, shahidi nimeuona ukuu wako
imani haba umeitoa ndani yangu
umekuwa mfariji, mfariji tena mshauri w*ngu
umerudisha tumaini langu wajua (baba eeh)
wanilinda kila nikipiga hatua
[pre chorus]
tena umeondoa fedheha na mashaka yote
pia umenitua mizigo hujaniacha mpweke
[chorus]
(hajaniacha) nipo naye
nipo na yesu
(baba) nipo naye
ah baba
hajaniacha, nipo naye
nipo na yesu
(baba) nipo naye
[verse 2]
naelewa fikra kuna kutabasamu na kulia
mengi umeniepusha mengine hata sikutarajia
pale nilipolia ulinifuta chozi na ukanishikilia
umenitoa hatia, umenivika taji leo nafurahia
[pre chorus]
tena umeondoa fedheha na mashaka yote
pia umenitua mizigo hujaniacha mpweke
[chorus]
(hajaniacha) nipo naye
nipo na yesu
(baba) nipo nayе
ah baba
(hajaniacha) nipo naye
nipo na yesu
(baba) nipo naye
mmh
Random Song Lyrics :
- literally dead!! - make out monday lyrics
- snippet 09/04/2023 - uglystephan lyrics
- always on my mind - yel (rnb) lyrics
- stain - cam steady lyrics
- alguém - andré seravat lyrics
- yesterday - billy anderson lyrics
- ветры - шалих (shalih) lyrics
- в слезах ( in tears ) - lil-choops. lyrics
- d# - swietliki lyrics
- jazzapp - christtt lyrics