wanibariki - nandy lyrics
mmmh ooh baba
[verse 1]
niwe pekee wanijua vyema
kwako sitetereki kamwe
wanitenda mema na kunipa heshima
umenifanya nisimame
na kama nikishikwa na shida
nitakimbilia hekaluni mwako
nitajaza nafsi mbele zako bwana
nitasema yote yanayonishinda
[pre chorus]
nilipo mie na wewe upo
nilipo mie na wewe upo bwana
nilipo mie na wewe upo
nilipo mie na wewe upo bwana
[chorus]
haa, wanibariki eeh
haaa aah, sitokuacha milele
haa, wanilinda mie
haaa aah, nitakuabudu milele
haa, wanibariki eeh
haaa aah, sitokuacha milele
haa, wanilinda mie
haaa aah, nitakuabudu milele
[verse 2]
hakuna giza tena wala hakuna mashaka
umeivua laana umenivika baraka
moyo w*ngu wakutamani ewe baba
nafsi yangu yakulilia
umenijaza imani sio haba neno lako nashikilia
umenishika mkono wako (asante asante)
umenivusha magumu (asante asante)
umenishika mkono wako (asante asante)
umenivusha magumu (asante asante)
[pre chorus]
nilipo mie na wewe upo
nilipo mie na wewe upo bwana
nilipo mie na wewe upo
nilipo mie na wewe upo bwana
[chorus]
haa, wanibariki eeh
haaa aah, sitokuacha milele
haa, wanilinda mie
haaa aah, nitakuabudu milele
haa, wanibariki eeh
haaa aah, sitokuacha milele
haa, wanilinda mie
haaa aah, nitakuabudu milele
[outro]
milele milele milele
milele..ooh baba wanibariki mimi
na wabariki na wao
Random Song Lyrics :
- per la pt.2 - sina (ita) lyrics
- starting over - emilee estoya lyrics
- вся округа вверх дном (whole neighborhood upside down) - zakhary lyrics
- insecure - allan rayman lyrics
- pinpon - soso maness lyrics
- what we do - son of a policeman lyrics
- stink cock - lil tapeworm lyrics
- regime alimentare - perturbazione lyrics
- jawbreaker - ruby grace lyrics
- call me by my name - alus lyrics