
yuda - nandy lyrics
(kimambo on the beat)
nimemyosha w*ngu yuda
vyake vitamu najipakulia
kungwi nimefundo
wake ma ex ndo wanaumia
walisema limevunda
sasa jikoni ndo linanukia
ye ndo w*ngu kiti
tena hachoki nikimkalia
na tena siku hizi nanenepa nanawiri
yamenoga mapenzi na yameshamiri
anipa vidogo na vikubwa tamu sio shubiri
nyumbani k*menoga huniponza mwili
ananilete chumbani, nikoleze w*ngu hunnie
tunacheza kibaba mama, kibaba mama
wakienda vitani sisi tuko nyumbani
aniteach inama, inama inama
n*z*waume roho zao
n*z*waume roho zao
n*z*waume roho zao
n*z*waume roho zao
kanipa sikio ananisikiliza
malumbano ndani hana
nimepitisha f*gio na hawezi kuniliza
mashindano ndani hana
nimefundishwa na mama, k*mlea bwana
akitakaga nyama, nampaga na tena
ananilete chumbani, nikoleze w*ngu hunnie
tunacheza kibaba mama, kibaba mama
wakienda vitani sisi tuko nyumbani
aniteach inama, inama inama
n*z*waume roho zao
n*z*waume roho zao
n*z*waume roho zao
n*z*waume roho zao
Random Song Lyrics :
- kosmos brenner - golden core lyrics
- melodrama - teenage halloween lyrics
- imagination - bolland & bolland lyrics
- revelación - mensajerooo lyrics
- one in a million - har’monique lyrics
- i-ben adam - איי-בן אדם - hapijamot - הפיג'מות lyrics
- tapped in - trey, the stunna lyrics
- i'll see you tn - guapslayrr lyrics
- yearning - ray lamontagne lyrics
- kaplepad 15 nov 2022 - tha jonic lyrics