
karne ya 30 - natty jerry brant lyrics
intro :-
kilio usipotoa chozi sio kilio../
kisicho na uhaba wa simanzi ndo kilio../
kinachotoka chini ya ardhi mpaka mbingu../
kinachoomba nyingi radhi mpaka juu kwa mungu../
kilio kinachogusa mbingu ndani ya karne ya 30../
natty jerry brant,mfarisayo,de la p,lost poetry yeaah
verse 1 (natty jerry brant)-
ni kama ndoto ‘no’ dunia mapito../
watoto wa mungu tuko gizani../
tumeuacha utukufu wa nyota ing’aayo angani../
tunautafuta umaarufu kwa dini feki za kipagani../
ndani ya karne ya 30 dunia itakua jala jalalani../
ni ushetani na uhaini utakaotawala tu ubongoni../
kwa fikra hasi za wale makuhani watakaowezeshwa na shetani../
ndani ya karne ya 30 dini feki zitakua mezani../
maandiko hayatafanana na yale ya wazee wa zamani../
biblia za mtandaoni,ni mpango wa kishetani../
wa kupoteza biblia huru gizani../
macho yangu yatakonda kwa uchungu na huzuni../
kila mtu ni mchunga mwenye wito wa kichungaji ni nani../
mwenye cheo ni shoga flani, na ndio padri mwenye imani../ ukimuuliza atadai siku hazifanani../
hata casino ni ibadani,kanisani ni mbeshani../
na sadaka madhabauni mpaka condom kikapuni../
dunia itakua pepo ya makafiri,na pia ni jela kwa waumini ibadani../
maana ukweli utakua umefichwa kapuni
Random Song Lyrics :
- dining where? - earl sweatshirt lyrics
- bella ciao - nino de angelo lyrics
- новости (news) - ддт (ddt) (band) lyrics
- stardust - i. the race - lost in grey lyrics
- знаю (know) - perenats lyrics
- love the way we vibe - lil leek4 lyrics
- fantome - boo$ko lyrics
- #movelikeme - sadfriendd & yatashigang lyrics
- клетка (cage) - fredguitarist & denis kravtsov lyrics
- you’re not god - hannah faye lyrics