
amalile - nay wa mitego lyrics
kwanza uliniomba nikupende nisikize ya walimwengu
nikaheshimu maneno yako nikafungua moyo w*ngu
ulinipo nikosea nilisamehe zaidi mara saba sabini
na nilipokukosea huku nyamaza wakajua na majirani
nikaanza kusikia na bwana toka congo
aliyekuletea chacha ukanisaliti mumeo
hivi ni nini ulitaka nikupe
shukrani ya punda mateke
yakishakushinda usijute
hivi ni nini ulitaka nikupe
shukrani ya punda mateke
yakishakushinda unik*mbuke
pesa zangu mali zangu nilikupe mpezi wewe wamalile
pesa zangu mali zangu nilikupe mpezi wewe wamalile
eh wamalile wamalile
eh wamalile wamalile
eh wamalile wamalile
eh wamalile wamalile
manenno nikisema yatapunguza heshima
moyoni naficha k*mstiri mwanangu
shida nilizopata kukuletea furaha
nikiyak*mbuka naumia uchungu
naka wimbo nikakuimbia
you’re the only one
na bado ukanikimbia labda ni shetani
jua furaha sio pesa
j*po nilikupa
kama hukutosheka
jibu sio kuondoka
umemuacha mtoto kwa mdundiko unapigwa kwa jirani
ningeijua hiyo ngoma ningeipiga tucheze humu ndani
eh wamalile wamalile
hauna huruma hata kidogo wamalile
ona katoto bado kadogo wamalile
na kila la kheri uko uwendako
pesa zangu mali zangu nilikupe mpezi wewe wamalile
pesa zangu mali zangu nilikupe mpezi wewe wamalile
pesa zangu mali zangu nilikupe mshenzi wewe wamalile
pesa zangu mali zangu nilikupe mshenzi wewe wamalile
Random Song Lyrics :
- transdimensional alluvium - toby driver lyrics
- mordecai - goldwood lyrics
- disguises - momus lyrics
- one more day - sunburn lyrics
- moment - gorby lyrics
- yk - robin che lyrics
- you're the one - playboybuttah lyrics
- animal - alice animal lyrics
- cheap shots - richie kotzen lyrics
- shake your love - turboslacker lyrics