
hawakatai - nay wa mitego lyrics
hawakatai, hawakatai
hawakatai eeh katai, hawakatai (hawakatai)
hawakatai eeh katai, hawakatai
sijui wana tamaa ukipendeza wanajileta (hawakatai)
sura mbaya imekomaa utawapata ukiwa na pesa (hawakatai)
ukimfuata na gari hata kama la kuazima
ujue amekwisha huyo (hawakatai)
akikupa namba we tuma salio
mwambie njoo ghetto (hawakatai)
mmekutana leo, unamwomba leo
na anakupa leo (hawakatai)
ukimpa mimba mzee, ukimwambie akatoe (hawakatai)
***
***
hawakatai eeh katai, hawakatai (hawakatai)
hawakatai eeh katai, hawakatai
hawakatai, katai, katai, hawakatai (hawakatai)
hawakatai, katai, katai, hawakatai (hawakatai)
eh eh … hawakatai
sijui ushamba
akikupenda hata ukiomba picha za utupu (hawakatai)
wanajiona wajanja wakati ulimbo wao ni bia na chips kuku (hawakatai)
Random Song Lyrics :
- life is... - kirrrrra+sky lyrics
- love kills - lj hunter lyrics
- you can't hide from love - billy preston lyrics
- poison - dahye (다혜) lyrics
- hench mafia - lil heavy chainz lyrics
- oui (weekend) - lova [official] lyrics
- watersfine - thomtide lyrics
- something more - reason lyrics
- like the movies - fcj lyrics
- shadow - ash minor lyrics