sina makosa - orchestre les wanyika lyrics
haiyoooohh!!
lelele lile lele liloo ohh ohh mama
hasira za nini ww bwana, hasira za nini we bwana, wataka kuniuwa bure baba! wataka kuniuwa bure baba!
yule si wako na mi si w-ngu
chuki ya nini kati yangu mimi na ww chuki ya nini kati yangu mimi na ww?
le le le lile lele liloo ohh
hasira za nini we bwana, hasira za nini we bwana ah. . wataka kuniuwa bure baba wataka kuniuwa bure baba
kwako hayuko kw-ngu hayuko chuki ya nini kati yangu mimi na wewe chuki ya nn kati yangu mm na wewe
lele le lile lele lilo oh oh ahh!
hasira za nini we bwana hasira za nini ww bwana wataka kuniuwa bure baba
wewe una wako nyumbani na mimi nina w-ngu nyumbani chuki ya nini kati yangu mimi na ww chuki ya nini kati yangu mimi na wewe
haiyoooohhh!! le le le lile lele lilooh oh oh mama
(instrumintal)
sina makosa!!
chuki ya nini?
Random Song Lyrics :
- эс как доллар $$ - asya reznik lyrics
- pergilah - aurelio (id) lyrics
- buzz one time - dayne lyrics
- shine - martin ansell lyrics
- rap dos vilões (sonic) robotnik, infinite & metal sonic - all place br lyrics
- g-shock - socialdiamond lyrics
- токсин (toxin) - shadowraze lyrics
- pop smear - berani lyrics
- tokio hotel - teuterekordz lyrics
- flooding (2022 remastered version) - drowning in goldfish lyrics